10 Insanely Hilarious Conditions Which Ray C’s Ideal Man Must Meet. No Man Can EVER Accept The Last One. NKT!
Ray C was once a 10/10 hottie that men would give anything for a night of debauchery with her. Even bulge to her insane conditions that she is currently demanding her man should meet. But the Ray C we now know, not many give a damn about her.
The one time hottest Tanzanian beauty has outlined ‘funny’ demands which a man wishing to tie her down must meet.
Ray C has come up with 10 conditions which she says she is using to choose her suitor. The chubby singer must be a comedian ever since she flashed her music career down the drain. Her ultimatums, pwahh!
She says her ideal man should meet the following criteria; should be humble and caring, love Bollywood movies, should be an introvert, should love her ballooning body, cook for her, must spend larrrra time with her, should be anti-social, should love her songs and lastly, wait for it… use one phone with her as in share a phone! Are u mad b**ch!
Now number 10 I don’t know which man will accept that, unless amekaliwa chapati.
Below is what Ray C wrote:
Habari zenu wapendwa wote dunia nzima!Leo na habari nzuri sana kwenu,Naomba kuwatangazia kuwa natafuta Mchumba wa kuishi nae milele!nataka niwe nae milele na nimzalie watoto wawili wa kike na wakiume!!!!
Ila naomba niwambie kabisa masharti
1.Awe mpole ili nikikasirika anibembeleze
2.Awe anapenda muvi za kihindi ili nikiwa na stress aniwekee nyimbo za kihindi maana ndio raha ya moyo wangu.
3.Asiwe muongeaji sana sababu huwa sipendi makelele.
4 Anipende na ubonge wangu huu asije akaanza kunambia baby anza mazoezi au dah baby zamani ulikuwa bomba au rudisha kiuno hapo hatutaelewana.
5.Awe ananipikia nikichoka maana navutiwa nikimuona mwanaume anapika.
6.Awe na Mimi muda wote maana na wivu sana ikiwezekana tufanye kazi ofisi moja au awe ofisi ijengwe hapo hapo nyumbani.
7.Awe mvumilivu maana nikiwa na hasira huwa naongea kwa sauti ya juu sana.
8.Asiwe na rafiki wengi,na akitaka kuonana nae na mi niwepo maana si mnajua wanaume tena wakikutana huwa wanashaurina mabaya.
9.Awe anajua nyimbo zangu zote ndio ntaamini kweli ananipenda.
10.Sharti la mwisho kabisa ambalo ni muhimu sana kwangu ni hili tuwe tunatumia simu moja na Namba moja
Maana kanisani tunafundishwa kuwa ndoa maana yake tumeungana na kuwa kitu kimoja kwahiyo kama mume na mke tunalala pamoja kitanda kimoja na kuishi pamoja kwanini tusitumie simu moja!Sioni tatizo!
Kama una ndugu,jamaa.kaka,rafiki yuko single basi mjulishe tangazo hili huezi jua unaeza ukashangaa nimekuwa shemeji yako au wifi yako……………..”