Harmonize akashifu madai kwamba wolper aliwai kufanya mapenzi na boss wake Diamond Platnumz

Mwanamuziki Harmonize amejitokeza kukashifu madai ya kwamba mpenzi wake wa hapo awali Wolper alikua na uhusiano wa kimapenzi na boss wake Diamond Platnumz.

I DON’T KNOW ABOUT THAT, SIJUI KAMA JACKIE ALISHAWAHI KUDATE NA CHIBU D. SIJUI NA SIJAWAHI KUSIKIA. MIMI MWANAKIJIJI BRO MJINI SIJAFIKA SIKU NYINGI, SO SIJUI NA SIJAWAHI KUSIKIA NDIO KWANZA UNANISUPRISE. KUMBE ILISHAWAHI KUTOKEA HIVYO?,” Alijibu wakati aliulizwa hilo swali.

Mwamuziki ametoa wimbo mpya alowakilisha Wolper kama video vixen na uvumi ukaanza kusambaa kwamba alimwandikia wimbo hiyo jambo ambalo amelikana.

Also read:Msanii kutoka Wasafi Harmonize azungumza mara ya kwanza kuhusu uhusiano wake na Wolper

Jambo la kutisha ni kwamba lazima angeomba mdosi wake Diamond ruhusa la kuingia na uwasiliano wowote na Wolper.

“CONFIRMATION NILIYOKUWA NAIHITAJI SIO HIYO BRO, NILIKUWA NATAKA CONFIRMATION KUTOKA KWA DIAMOND KWAMBA ANAONAJE MIMI NIKIKAA PALE KWA WOLPER. ALINIJIBU KUWA NI MWANAMKE MZURI LAKINI HAKUNIAMBIA KAMA ALISHAWAHI KUDATE NAYE NA WALA JACKIE HAJAWAHI KUNIAMBIA KAMA ALISHAWAHI KUDATE NA DIAMOND,” Alikamilisha jambo hilo.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.