“Kwa sasa kunilinganisha na akina Amber Lulu na Gigy Money ni dharau kubwa, si levo zangu, tazama muziki wanaofanya na muziki wangu” Lulu Diva

Lulu Diva amepanda cheo na sasa hataki kuwa analinganishwa na video vixen wengine kama Amber Lulu and Gigy Money.

Mwanadada huyo aliyekuwa video vixen hapo awali sasa hataki kamwe kuekwa kwenye levo moja na watu wengi kwa sababu anafanya mambo makubwa.

Akichonga na Mikito Nusunusu, Lulu alisema ni kweli wapinzani wake wote hao wanafanya muziki kwa sasa kama anavyofanya yeye lakini bado levo zao si kama zake maana yeye yupo chini ya uongozi unaosimamia kazi zake za kimuziki na umemuwezesha kupata kolabo nje ya nchi na Mzimbabwe Jah PPrayzah.

“Kwa sasa kunilinganisha na akina Amber Lulu na Gigy Money ni dharau kubwa, si levo zangu, tazama muziki wanaofanya na muziki wangu”  alimalizia.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.