“Ndoa yangu ipo karibu” Lulu Michael

Lulu Michael amefunguka na kusema ya kwamba ndoa yake na mpenzi wake Dj Majay ipo karibu.

Amefunguka kuwakosoa mahaters ambao walidhani uhusiano wake na Majay ambaye ni bosi wa EFM na TVE hautaishi na watakuja kuachana.

“Siku zinakaribia na karibu tarehe ya ndoa yangu itatangazwa kwa uwezo wa Mungu. Hapo ndipo waliotamani tuachane wataziba midomo, maana natarajiwa kuwa mke halali hivi karibuni,” ameliambia gazeti la Mtanzania.

Lulu ameongeza kuwa anatamani kuwa mke bora kwenye ndoa yake kama alivyokuwa sasa kwenye mahusiano yake.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.