Hussein Machozi aelezea masaibu ambayo amekuwa akipitia nchini Italy

Kwa muda mrefu staa wa bongo Hussein amwekuwa akiishi Italy lakini isa leo alirejea nchini kupumzika.

Alipata na wanahabari na wakazungumzia mambo mbali mbali ikiwemo mambo aliyoyakumba nchini humo. La kwanza ni chakula kwa sababu hoteli za huko hazina chakula kinachostahimili muislamu.

Sasa ilibidi akuwe akienda supermarket na kununua chakula alichokitaka.

Alieleza ya kwamba amesoma mengi kimuziki ambayo ata leta hapa nyumbani na kunufaisha sanaa.

Mtazame hapa kwenye hii video:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.