Wolper aeleza sababu za mahusiano yake kutodumu

Mapenzi ya Harmonize na Wolper yameisha kulingana na fununu zinazotambaa mitandaoni. Wawili hao wameachana kwa sasa na kulingana Wolper, yeye hana bahati kwenye mapenzi.

Akizungumza hivi karibuni Wolper alifunguka kwa kusema kuwa anakipaji cha kukomeshwa na wanaume wote ambao ametoka kimapenzi nao. Alisema,

“Mimi ni kama nina kipaji cha kukomeshwa kwenye mapenzi kwa sababu kipaji ninachokivumbua mimi wenzangu wanataka wapite hapo hapo ili kunikomoa. Ni kwamba nina kipaji cha kukomeshwa lakini huyo anayenikoa unakuta hajui mimi nimepambana vipi kumtengeneza mtu anipendae”

Hata hivyo Harmonize anasemekana kuwa anampenzi mpya ambaye ni mtoto wa Kizungu.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.