Picha ya Queen Darleen akiwa na bunduki ya zua utata mitandaoni

Queen Darleen ni mmoja wa wasanii kutoka Wasafi records na ingawa yeye pia ndio mwanamke pekee katika label hiyo ya Diamond Platnumz mrembo huyu ni kama dada yake.

Hivi karibuni Queen darleen aliweka picha huku akionekana kuwa amebeba bunduki ambayo imeletautata mitandaoni. Kulingana na mashabiki bunduki hii inaonekana kuwa sio ya kweli, huku wengine wakidai kuwa alitaka kujionyesha kwenye mitanondi.

Hata hivyo, Queen Darleen hakuwajibu mashabiki wake kuzuia kujibishana na wengi wao ambao hawakukifurahia kitendo hiki. Tazama picha hiyo hapa:

?DUNIA SimamaNishukee ???? #duuuuuuuuushwa?????

A post shared by Queen Darleen (@queendarleen_) on

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.