Matukio Katika Picha: Ndoa Ya Mchekeshaji Joti

Msanii na mchekeshaji  mkongwe na maarufu alieanza kazi za uuchekeshaji kwa muda mrefu joti amefunga ndoa jumamosi iliyopita. Ndoa yake ni moja kati ya ndoa zinazoingia katika orodha ya ndoa zilizofana sana Tanzania.Ndoa hiyo ambayo ilfanyikia Mlimani City jijini Dar Es Salam na kuhudhuriwa na watu mashuhuri  ilikuwa ya aina yake.Hizi ni baadhi ya picha za ndoa hiyo

Joti akiwa na mpambe wake Sekion david

joti akiwa na mke wake

joti akifurahi jambo na mkewe , kulia ni wanandoa na familia.

Joti na mkewe wakiwa na furaha.

Baadhi ya watu waliodhuria ukumbini kusherekea pamoja nae

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.