Kidoa Arudi Kwenye Tabia Yake Ya Ufuksa

Mwanadada  wa filamu za bongo Asha Salum  Maarufu kama Kidoa amedaiwa kurudia tabia yake ya kupiga picha za uchi na kuzirusha mitandaoni baada ya kusimama kwa muda mrefu .Kidoa ambae kipindi cha nyuma aliacha tabia hiyo kutokana na kuwa na mahusiano na mwanaume aliyesemakana kuwa ni kigogo ambae alimkataza kufanya tabia hiyo ya kupiga picha za uchi wala kuvaa nguo za kuonyesha nguo zake.

Kidoa ambae alikuwa na tabia hiyo tangu zamani alisimama tabia hiyo kutokana na pedeshe huyo kumkataza kufanya vitu hivyo kwa kuwa alikuwa akimuhudumia hivyo alikuwa chini ya himaya yake hivyo alikuwa anapaswa kufanya kile anachoambiwa na pedeshee huyo.

Hata hivyo , baada ya kumtafuta Kidoa GPL, walifanikiwa kumpata na kumuuliza tetesi hizo ambapo mwanadada huyo alisema kuwa watu wamekuwa wakimsema bila kujua maisha yake yakoje, hata hivyo mwanadada huyo alisema kuwa watu wanasema nimeachwa kwa sababu tu kuweka picha ambayo ilikuwa ikimuonyesha maungo yake akiwa amevaa  nguo za kuogelea,akiendelea kujitetea anasema kuwa hizo ni nguo ambazo alikuwa akizipenda tangu zamani lakini sio kwamba ameacha.

Watu wanapenda sana kufatilia maisha yangu , najua hayo yote yameibuka kwa sababu nimeweka picha nikiwa na nguo  za ndani  tu.mavazi hayo nilikuwa nayapenda sana huko siku za nyuma lakini sio kweli kuwa mwanaume niliyekuwa nae ameniacha, niliweka picha hizo kujipumzisha tu. -Aliongea Kidoa alipotafutwa kwa simu

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.