Chid Benz Amshauri Ney wa Mitego Kufanya Aina Nyingine ya Muziki

Msanii mkongwe wa muziki ambae amekuwa akikumbwa sana na kashfa za matumizi ya madawa ya kulevya na kuwa anachezea kichapo cha kulala ndani kila iitwapo leo kutokana na kukamatwa kwa tuhuma hizo hizo kila siku ingawa yeye mwenye amekuwa akikanusha kuwa kwa sasa ameshaacha matumizi ya madawa hayo Chid Benz amefunguka na kumtaka msani mwenzie Ney wa Mitego kuachana muziki anaofanya sasa ka kutafuta aina nyingine ya muziki  wa kufanya.

Chid Benz ameamua kumchana Ney wa Mitego na kumwambia kuwa muda wake wa kufanya mzuiki guo ulishahisha na sasa styke ya muziki anayoifanya anatakiwa kuwaachia wakina Billnass wafanye na yeye kukaa pembeni kufanya muziki huo.

kwa sisi wakongwe ni lazima tujue kuwa inafika muda na wakati wetu unapita,na sasa kiki inabidi tuwaachie  madogo kina #billnass  huku kina juma nature, afande sele na  nimshauri tu @naythetrueboy  kufanya aina nyingine ya muziki.

Nay wa Mitego ambae ni msanii wa hip-hop amekuwa ni mmoja wa wasanii walioingia katika list ya wasanii ambao wanatakiwa kubadlisha aina ya muziki na kuacha kuimba nyimbo za matusi kama ambavyo nyimbo zake za awali zilivyokuwa.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.