Diamond Ndani ya Billboard kwa Kishindo.

Msanii Diamond Platinumz amekuwa ni moja ya mastaa ambao ndoto zao zinaanza kutimia kwa kuandikwa katika makala za mtandao wa billboard nchini.katika makala hiyo Diamond amewekwa katika picha ya pamoja na mstaa wengine wanne akiwepo Wizkid, Tiwa savage na  Davido.

Katika makala hiyo inaonyesha ni jinsi gani muziki wa Afrika unavyojitahdi kumtafuta star wa pop Dunianai kutoka afrika pia.Hii imekuja baada ya kampuni kubwa ya muziki Duniani Universal Group ambayo pia inasimamia kazi za Diamond kwa sasa  kupitia tawi lake la nchini uhalanzi ilitangaza kununua hisa za asilimia 70% za lebo ya AI records za nchini  kenya.

UMG itakuwa inafanya kazi ya kusambaza kazi mbalimbal za wasanii  kutokea AI Records  Duniani kote ikiwepo  kwenye mitandao  mikubwa tofauti tofauti Duniani.

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.