Wema Sepetu Awagarazaga Wasanii Wenzake Wa Bongo movie

Muigizaji wa bongo movie Wema Sepetu amewagaraza vibaya wasanii wenzake wa Bongo movie baada ya kunyakua tuzo mbili katika tuzo za filamu ziitwazo Sinema Zetu Film Awards.

Wema amejinyakulia tuzo hizi kama msanii bora wa kike 2017-2018 kupitia tuzo za Sinema Zetu zilizoandaliwa na Azam TV.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Wema amefunguka haya kuhusiana na tuzi hizo:

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.