Davina Akiolewa Tena Naandamana:-Mayasa

mwanadada kutoka bongo movie Mayasa Mrisho amewashangaza  watu baada ya kusema kuwa rafiki yake kipenzi davina akiolewa basi yeye ataandamana kwa sababu  davina ameshazaa watoto watatu huku wakiwa wa baba tofauti na wanaume hao wamekuwa wakimuumiza sana kiasi kwamba amekuwa na machungu sana na  kuumizwa na mapenzi .

Mayasa anasema kuwa wa upand wa rafiki yake huyo Davina ameshaona kuwa hakuna haja tena ya kuendelea kuwaza maswala ya ndoa au mapenzi  kwa sasa anwaza sana maswala ya pesa kwa ajili ya kuweza kuwalea watoto wake.

Yaani siku Davina akiolewa tena naandamana  kwa maana wanuame wamemtenda sana jamani,sasa hivi ni muda wa kutafuta pesa tu kwa ajili ya kufanya mabo mbalimbali ya kimaisha kama anavyofanya ili aweze kuwalea watoto wake.

Hata alipoulizwa Davina mwenyewe alisema kuwa kwa sasa hana mpango wa ndoa tena zaidi ya kutafuta ela kwa ajili ya kulea watoto wake na ndio maana amekuwa akisafiri nje ya nchi ili kuweza kufanya baishara zake.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.