Uwoya Achora Tatoo ya Agness

Mwanadada Irene Uwoya aamua kufanya maamuzi magumu baada ya kuamua kuchora Tatoo yenye jina la rafiki yake kipenzi alifariki wikiendi hii Agness Masogange ikiwa kama ishara ya kutotaka kumsahaua kabisa katika maisha yake.

                                           

Wawili hao walikuwa watu wa karibu sana na hata kufichiana mambo mengi na katika msiba huo irene uwoa alikuwa akionekana mwenye majonzi na hasiye taka kuamini kitu kama hicho kingeweza kumtokea katika maisha yake na rafiki yake.

Kila mtu ameguswa kwa naman ya tofauti kuhusu swala la msiba lakini kwa Irene ameona kuwa njia pekee ya kumuenzo rafiki yake huyo ni kwa kuamua kuchora taoo yenye jina lake.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.