Abdi Banda Atangaza Ndoa na Dada Yake Ali Kiba

Baraka inaendela kuzisi kuitembelea familia ya Ali Kiba Kwani Dada yake na Kiba anayejulikana kama Zabibu Kiba amesemakana kufunga ndoa hivi karibuni.

Ikiwa ni wiki tu imepita tangu kaka yake Ali Kiba Abdu Jr rekodi baada ya kufunga ndoa na mrembo anayeitwa Amina kutoka Mombasa Kenya na kutrend vibaya mno hasa pale iliporushwa live kwenye televisheni.

Lakini ni juzi tu kaka mwingine wa Zabibu ambaye na yeye ni Mwanamuziki wa Bongo fleva Abdu Kiba alipoamua kuuaga ukapera baada ya kufunga ndoa Jumapili iliyopita.

Inaelekea Zabibu anakuwa Kiba wa tatu kufunga ndoa kwa mwaka huu wa 2018 kwani inasemekana Zabibu na mpenzi wake Abdi Banda wanatarajia kufunga ndoa mwaka huu.

Tetesi za Kitaa zinasema Abdi Banda anatarajia kufunga ndoa na dada ake Kiba, Zabibu baadae mwaka huu, hii ni baada ya kaka yake kufunga ndoa. Pongezi kwake Abdi Banda

Abdi Banda kwa sasa anachezea timu moja huko South Africa,ila aliwahi kuicheze timu ya Simba.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.