Diamond Amwagia Sifa Kibao Vanessa Mdee

Msanii wa bongo fleva Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ameibuka na kumwagia sifa kibao msanii mwenzake Vanessa Mdee na kudai ni mpambanaji sana.

Diamond alifunguka hayo baada ya Vanessa kuwekwa na Wasafi Tv kama Women Crush Wednesday ambapo walimshukiru mchango wake katika Bongo fleva.

Diamond aliandika hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo alifunguka kwa kumtumia ujumbe huu wa shukrani Vanessa:

Vanessa ni moja kati ya waaanii wa kike Kwenye Bongo fleva anayefanya vizuri sana kitaifa na kimataifa na hata albamu yake ya Money Mondays aliyotoa mapema mwaka huu bado inafanya vyema.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.