Nandy Amtaja Aslay Kama Moja ya Wasanii Wenye Fedha Tanzania

mwanadada nandy amefunguka na kusema kuwa miongoni wa wasanii wenye fedha nyingi sana tanzania basi huwezi kumsahau msanii mwenzake aslay ambae aliwahi kufanya nae kazi zaidi ya mbili za muziki.Akiongea na Times Fm katika kipindi cha the playlist, Nandy alisea kuwa huwezi kumuacha Aslay pale unapotaka kuwataja wasanii wachache tanzania wenye fedha nyingi.

Katika top five ninaweza kumuweka katika namba tatu,ingawa siwezi kutaja namba mbili au namba tatu lakini yeye namuweka katika namba tatu.

Hata hivyo alipokuwa akiendelea Nandy alisema kuwa ukiachan na Aslay kuwa namba tatu lakini ukweli ni kwamba yeye ndio namba nne inayofuata kwa wasanii wenye pesa bongo, ikumbukwe kwamba katika list ya wasanii wenye fedha iliyowahi kutolewa mwaka jana wasanii waliokuwa wakiongoza ni pamoja na Diamond Platinumz. Lady Jay dee, Dy, na Alikiba.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.