Harmonize Kutoa Kikosi B cha List ya Wanaume wa Wolper

Siku chache zimepita tangu Wolper na Harmonize wajibizane na kufikia hatua ya harmonize kutoa list ya wanaume ambao walishawahi kutoka kimapenzi na jackilne ingawa baaada ya hapo Jackline alijibu kuwa list hiyo imekosewa na kuna baadhi ya watu amewacha na wengine amewakosea , lakini kumbe sakata hilo halikuishia hapo tu, sasa hivi Harmonize amewahaidi mashabiki zake tena kuwa  list aliyoitoa mara ya kwanza ilikuwa ni kikosi A na sasa anajianda kutoa kikosi B.

Harmonize amemuahidi Wolper kuwa kuanzia sasa hatokaa amwambai Sarah chochote kuhushu meseji ambazo amekuwa akimtumia za kutaka warudiane lakini pia amemshauri sana akwa kama mwanamke ajiheshimu sana.

kuwa mwanamke ni chombo ambacho mungu amekupa na kukutunuku  jitahidi sana kukitumia vizuri  na sio kukifanya kama kichaka cha kufanyia maovu ukitegemea kuwa mtu atakaa kimya na kutokukujibu  eti kisa ataonekna kuwa ni mdhalilishaji.mama yangu pia ni mwana mke lakini hakai hata siku moja akiziongelea familia za watu  katika mitandao, mwanamke wangu kaishaitwa mlezi wa wana na mimi nilishaitwa mdangaji  utadhani nitaogopa kuitwa mswahili?…. basi fundi cherehani wangu sitomwambai tena sarah  kuwa unanisumbua ….wacha niliambie taifa  sasa kikosi (B) coming soon….

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.