Shilole Amjibu Ebitoke na Kudai Sio Hadhi Yake

Mwanamuziki wa Bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole amemjia juu msanii wa vichekesho kutoka Timamu Tv, Ebitoke na kusema sio mtu wa hadhi yake.

Siku ya jana Ebitoke alimuongelea Shilole Kwenye Interview yake na kudai hajui nyumimbo hata moja ya Shilole kwa sababu hajui kama ni msanii au ni mama ntiliye.

Kwenye mahojiano na EATV, Shilole amesema hawezi kubishana na mtu kama Ebitoke kwa kuwa hana pesa na pia sio level zake na pia kama anatafuta kiki basi yeye hatoi kiki sahivi:

Nyumbani kwake ananitazama kila siku, wengine wanapenda wanisikie nikiongea, mimi siwezi kuongea na mtu ambaye hana hela, lakini wakati huo ananijua na ananiangalia kwenye tv sebuleni kwake, mimi sitoi kiki sasa hivi“.

Mbali na kuwa msanii Lakini pia Shilole ni mjasiriamali ambapo anamiliki mgahawa wake unaoitwa Shishi Food.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.