Ninaweza Kuzaa na Sugu Ana Mbegu Nzuri:-Faiza Ally

Mwanadada mjasiriamali amabe pia ni bongo movies faiza ally amefunguka na kusema kuwa hana mpango wa kuolewa na mwanaume aliyewahi kuzaa nae mtoto wake wa kwanza ambae ni mbunge wa Mbeya  mjini Mr Sugu lakini anaweza kuzaanae mtoto mwingine kwa sababu baba huyo ana mbegu nzuri.

Sugu ninaweza kuzaa nae mtoto mwingine kwa sababu ana mbegu nzuri sana kanipatia mtoto wa kike mzuri sana, ila sio kuolewa nae kwa sababu tulishashindwana hapo awali  sidhani hata kama tutawezana tena.

Faiza na Sugu walikuwa na watu wa kugombana katika mitandao kila siku kuhusu malezi ya mtoto huku mama huyo akisema kuwa baba hayupo makini katika kumhudumia mtoto wake, hata hivyo faiza amekuwa mtu wa kufunguka mambo mengi sana kuhusu sugu lakini sugu siku zote amekuwa kimya na hataki kuongea chochote kuhusu anayoyasema mzazi mwenzie.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.