Msanii Tox Star Akiri Kumkubali Vanessa Mdee

Msanii anayejulikana kama Tox Star amefunguka na kusema Katika wasanii wa kike kibongo Bongo basi kwa Vanessa Mdee ndio kafika.

Msanii huyu alipata umaarufu alipotoa wimbo uitwao Pretty Girl, aliomshirikisha Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’, ulimtambulisha vyema kwenye gemu la muziki wa Bongo Fleva.

Lakini baada ya kutoa hits chache chini ya uangalizi wa Ostaz Juma na Musoma kama  Kitaani akimshirikisha Dully Sykes lakini baadae msanii hiyo alipotea Kwenye ramani.

Kwenye Interview aliyofanya na gazeti la Risasi, Tox Star alifunguka kuwa hakuna msanii Bongo anayrmkubali kama Vanessa Mdee:

Vee Money. Kiukweli huyo dada ninamzimia sana na siku moja nitafanya naye kazi. Nikibahatika mashabiki wangu watauona ule wimbo wa mwanamuziki kutoka Marekani, Nelly uitwao Dilema ukirudi tena kivingine“.

Msanii huyo ametoa ngoma mpya  ijayo kwenda  jina la chukua ambao amedai ndio utamrudisha Kwenye chati tena.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.