Utani wa Idris kwa Shiloleh

Mchekeshaji Idris Sultan amemtania Shiloleh huku akimsifia kama mwanamke jasiri anaejiamini na kujituma kuliko wanawake wengine waliozoea kuletea kila siku.Hii inakuwa sio mara ya kwanza wa baadhi ya wasanii kugundua umuhimu wa Shiloleh katika jamii.

Pamoja na kwamba Idris aliandika maneno haya kwa njia ya utani lakini imeleta hamasa sana kwa vijana wengine na kuweka gumzo katika mitandao ya kjamii,

Ana nyumba, ana biashara kama tatu, ana watoto watatu na ameolewa  ni marufu na pia ni baby face .mimi nina kiingereza tu hapa , tuendelee kuendekeza ujinga tutajua nani anamcheka mwenzie.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.