Faiza Ally Amwita Mtoto wa Mobeto Fake.

Mwanadada hasiye isha drama katika mitandao ya kijamii Faiza Ally amefunguka na kumjibu shabiki alitoa maoni ya kumshauri Faiza Ally hakumremba mtoto wake kama wanavyofanya wasanii wengine, lakini kitu cha ajabu wakati wa kumjibu shabiki Faiza Ally aliongea wazi kuwa hawezi kufanya hivyo kama anavyofanya Hamisa kwa watoto wake.

Katika maoni aliyoamua kujibu shabiki, faiza alisema kuwa hawezi kum-edit mtoto wake kama anavyofanya hamisa kwa mtoto wake na kumvalisha mawigi kwa sababu mtoto wake hivyo ndivyo alivyo.

siwezi kum-edit mtoto wangu mpaka apoteze uhalisia kama huyo wa mobeto , we are comfortable for who we are , na hizo nywele ndio asili yake ya uafrika , siwezi kumuweka dawa wala kumpachika viwigi …she born to be a star , she doesnt have to fake it , tunaishi maisha yetu kabisa.

Haijulikani kama kuna chochoko yoyote kati ya Hamisa na Faiza Ally mpaka afikie hatua ya kumuandikia hivi kuhusu mtoto wake.

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.