Diamond Anafanya Kazi , Sijui Kama Analala:-Master Jay

Mtayarishaji na mzalishaji wa nyimbo mkongwe Tanzania , Master jay amefunguka na kusema kuwa washngae mafanikio ya Diamond kwa sababu yanatokana na juhudi zake mwenyewe na kujituma kwingi bila kuchoka wala kukataa tamaa.

kwa wale wanaomjua diamond kwa ukaribu wanajua kabisa kuwa hivi vitu anavyopata sasa havijaja kirahisi, ni mtu ambae anafanya kazi, sijui hata kama analala , anafanya kazi kwa bidii sanaa,kwaio hata haya matunda tunayoyaona leo ni mafanikio ya juhudi zake.

Kwaio sasa hivi mimi ninaona anaanza kupata matunda ya kazi zake na ninafurahi sana na nina mshukuru Mungu.

Ukiachana na kazi za musiki ambazo diamond amekuwa akifanya lakini pia ameingiza bidhaa sokoni kama paerfum na karanga lakini pia sasa hivi yuko na wasafi Tv

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.