Ruby Akana Kujihushisha Mambo ya Kishirikina.

Msanii wa bongo fleva Ruby amefunguka na kukanusha tetesi zinazosambaa juu yake kwamba amekuwa akitumia nguvu za giza kwa ajili ya kuu-push mziki wake ili uweze kufanya vizuri katika soko la muziki.Mwanadada huyo ambae hivi karibuni ametoa wimbo wake mpya wa Niwaze ambao amewashirikisha yhe mafik nasema kuwa tuhuma hizo sio kweli juu yake hata kidogo.

Mimi siko hivyo na wala siyajua hayo mambo kabisa , mimi nina bibi na babu yangu wako tanga hayo mengine siyajuai kabisaaa- alisema ruby alipokuwa akiongea na Papaso ya TBC.

Ruby anasema kuwa kwa anachokiamini yeye ni Mungu na ndio anaemsaidia katika muziki wake hayo mengine hayajuai na kupenda mashabii zake kumemfanya afanyye vizuri zaidi.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.