Wema Arejea Kutoka Kwenye Matibabu Nchini India

Mwana dada aliyewahi kuwa miss tanzania mwaka 2006 wema sepetu ameripotiwa kurudi kutoka india alipokwenda kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji na matatizo yanayomsumbua kwa muda sasa.

wema amnae aliripotiwa  wiki chache zilizopita mahakamani alipotakiwa kwenda kusikiliza kesi yake ya madawa ya kulevya ndipo mama yake aliposema kuwa mwana dada huyo alishindwa kufika kutokana na kupata safari ya ghafla  ya kwenda nje kwa matatibabu.

alipokuwa akiongea na waandishi wa habari, meneja wa Wema Martin Kadinda ansema kuwa wema amereja kutoka india lakini hawezi kuongea mambo mengi kwa sasa kutokana na kuwa bado hayupo vizuri.

wema amerejea lakini kwa sasa hawezi kuzungumza  kwenye simu,anahitaji kupumzika kwa sababu amefanyiwa upasuaji ila anaendelea vizuri.

ninachoweza kukwambia ni upasuaji mdogo na ndio maana alikwenda peke yake,ninatumia nafasi hii kuwajulisha kuwa wema anaendelea vizuri.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.