Harmorapa Amezaliwa kwa Sababu ya Kiki:-Mkali Wenu

Msanii Vichekesho nchini mkali wenu amefunguka na kusema kuwa msanii Harmorapa sio mwanamuziki  bali yupo kwa ajili ya kiki tu na sio kitu kingine.

Mkali wenu anaongezea na kusema kuwa Harmorapa anakuwa hasikiki kwa sababu hana kitu cha kufanya kwa sasa ambacho kinaweza kumpa kiki na ndio maana sasa hivi haonekani katika mitandao.

Harmorapa hakuwa msanii na kujulikana kwa sababu ya muziki,ila harmorapa amejulikana kwa sababu ya kiki, amezaliwa kwa sababu ya kiki tu.harmorapa sio mwanamuziki mzuri yupo kwa sababu ya kiki na kwa sababu hafanyi kiki basi haonekani.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.