Tunawakataa Kwa Sababu na Wao Walitukataa.:-Babu Tale.

Meneja wa team ya wcb, babu tale amefunguka na kusema kuwa kuna baadhi ya media zilikuwa zimekwama kupiga nyimbo za WCB hapo mwanzo na sasa wanataka kurudi na kupiga tena na kutangaza habari zao, yeye anaomba waendelee kuacha kutoa habari zao wala lupiga tena nyimbo zao kwa sababu walshaamua kufanya hivyo.

tunaendelea kuwaomba waendelea kuwashinikiza wafanyakazi wao wasipige nyimbo zetu wala kutoa habari zet hivyo hivyo,hatutaki kuona wanapiga nyimbo zetu wala kurusha matangazo yetu,walitukataa mwanzo na sisi tunawakata kwa sabau walitukataa.

Hata hivyo Diamond aliwahi kusema kuwa katika tasnia waliopo michez ya kubaniana ipo sana kwa ivyo kwa upande wake hawezi kulaumu sana swala hilo.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.