Mbosso Aomba Radhi Menejementi na Mashabiki

Msanii wa muziki wa kizazi kipya anaekuja kwa kasi sasa katika game kutoka label ya WCB, Mbosso amefunguka na kuwaomba radhi lakini pia kukubali kosa alilofanya la kuweka  video chafu katika mtandao huku dhumuni lake kubwa akijua kuwa anaonyesha mashabiki zake show ilivyokuwa , kumbe alikuwa anakosea.

Akielezea kwa undani Mbosso anasema kuwa alijua kuwa ni swala la kawaida na hakufikiria kama lilikuwa kosa na hata uongozi wake ulimsema sama alipopost kitu icho katika mtandao.

kikawaida unapofanya kitu cha kuipiga menejementi lazika wataku-mind tu, lakini wakati mimi napost ile video niliona ni kawaida tu  kwamba tumesherehesha tumeua shoo lakini kumbe sio na waliniambia kabisa kuwa mdogo wangu unazinguakila bosi wangu alinipigia simu kwa wakati tofauti na kuniambia swala hilo kama bosi sallam, jana aliniambia kabisa kwamba ilo ni kosa lakini nenda BASATA kaongee nao lakini usijitie tie kama ujafanya kosa.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.