Mnasema Nimekonda Mlishawahi Kuniona Nimenenepa.:-Ruby

Mwanadada Ruby amefunguka na kuongelea picha zilizowahi kusambaa katika mtandaa wa instagram zikimuonyesha kuwa amekonda mpaka sehemu yake ya mbavu zikiwa zinaonekana na kusemwa sana ktika mtandao wa kijamii kuhusu kukonda kwake huko.

Hata hivyo Ruby amekanusha kuwepo kwa picha zake za aina hiyo na kusema kuwa picha hzio hazikuwa za kwake kwa sababu katika maisha yake hajawahi kunenepa mpka kufikia hatu ya watu kumwambia kuwa amekonda.Akiongea katika kipindi cha Friday Night Live, Ruby ameknausha kukonda huko huku akikanusha ia swala zima la yeye kutumia madawa ya kulevya.

Ile picha na sio hata ya Ruby, alafu mnasema kuwa nimekonda  kwani mlishawahi  kuniona nikiwa nimenenepa, haingii akilini kama vitu vya negative wanavyoongea wakati muda huo mimi kazi nafanya, na ninaangalia mbele kwenye kazi zangu.kazi yangu ndio inayoongea na wala sio mimi , mnaongelea mimi kuonekana kwa mbavu zangu mbona hamuongelei mimi kuonekana nikiwa na makalio makubwa.

Ile picha ilikuwa imepigwa kwa pembeni hata ukiangalia katika video yangu ya niwaze ndio utajua vizuri, wawe wanaleta show ili tunenepe.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.