Papii Kocha Ajivunia Mtoto Wake

Msanii wa muziki wa dansi nchini, Papii Kocha anasema kuwa amekuwa akijivunia sana mtoto wake wa kike  aliyemwacha akiwa mdogo pindi anakwenda jela baada ya kupatwa na kesi iliyotakiwa kuwagharimu maisha yao wakiwa huko.

Papii ambae baada ya kukaa jela kwa zaidi ya miaka 14 wamtoka jela  kwa msamaha wa raisi lakini moja ya vitu ambavyo vilimshangaza ni kumuona binti yake ambae alikuwa mdogo kipindi hicho kuwa mkubwa na mtu mzima kabisa.

Papii anasem akuwa kwake ni jambo la kujivunia na kumshukuru sana Mungu kwa kumtunzia binti yake na kumkuta akiwa salama na siku zote binti yake ni sifa yake.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.