Nyoshi:-Nikimuoa Gigy Money, Watoto 10 Tutazaa.

Msanii wa miondoko ya dansi nyoshi el-sadaat amefunguka na kuongea yake ya moyoni mwake kuhusu kumpenda sana kimapenzi msanii wa bongo fleva asieishiwa na drama kila siku gigy money ambae amejifungua miezi michache iliyopita.

nyoshi anasema kuwa amekuwa akimpenda ukweli mwanadada huyo na kama asingekuwa amewahiwa na mwanaume mwingine basi angemuoa yeye na hata kuzaa nae watoto 10  kwa sababu ya upendo wake.

Gigy money mimi nina mpendaga sana, nina penda tu yale mambo yake yananivutiaga sana, kwa bahati mbaya ameshagakuolewa  na bwana yake lakini kama angetokea na nini na nini , ningefanya hayo tu na kuamua kumuoa tu kwa sababu si mwanamke kama wanawake wengine tu nashindwaga kumuoa.kwa mfano ningemuoa Gigy money watoto kumi ndio vizuri.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.