Lemutuz Amtaka Rich Mavoko Ajirudi na Kuwaomba Msamaha WCB

Mdau wa mambo ya sanaa na mwanasiasa William Malecela maarufu Kwenye mitandao ya kijamii kama Lemutuz amemfungukia Rich Mavoko na kumtaka amalize mgogoro wake na iliyokuwa Label yake WCB.

Wiki iliyopita Rich Mavoko aliwaburuza WCB, Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) kwa madai ya mikataba mibovu ambayo amedai imemnyonya na kutompa maslahi ya kufaa.

Baada ya sakata hilo Lemutuz amepima uzito suala hilo na kumshauri Rich Mavoko arudi WCB awaombe msamaha ili asiondoke kwa shari kwani hajui kesho yake ikoje.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Lemutuz ameandika:

https://www.instagram.com/p/BmYiv0XgHtg/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=748bchr3azkz

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.