Rosa Ree watolea Povu Wanaomsema Kuhusu Style Yake ya Kubinua Midomo.

Mwanadada anaefanya vizuri katika ku-rap Rosa ree amefunguka na kusema kuwa anakerwa sana na watu wanaokaa na kumsema vibaya kuhusu tabia yake ya kubinua midomo ilhali hakuna cha maana wanachomuongezea katika maisha yake na katika kile anachokifanya.

Rosa ree amesema kuwa hiyo ni style yake ya pekee yake katika nyimbo zake na inawezekana ndio inayowatofautisha na watu wengine.

hawanilipii bili pamoja na kubinua kwangu midomo na kutoa ulimi, sasa hivi nina super market , nimefanya kolabo na wasanii wengine  wa kimataifa, nafany vitu vikubwa mimi mwenyewe maneno ya watu hayajiandiki usoni wala hazilipi bili ila zingekuwa la ningejali.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.