Harmorapa Apata Dili Nono la kuwa balozi

Msanii wa bongo fleva Harmorapa amepata dili kubwa katikamoja ya kampuni za usafirishaji nchini inayojulikana kama moovin.

Kampuni hiyoimemtangaza Harmorapa na moja ya watangazaji wa kipindi pendwa katika Clouds Media cha XXL kama mabalozi wao kwa sasa katika maswala na huduma wanazotoa katika jamii.

Akiongea baada ya kutangazwa kuwa balozi wa kampuni hiyo, Harmorapa anasema kuwa anamshukuru mungu na kampuni hiyo kwa kutambua nafasi yake katika kufanikisha huduma zao na anaamini kuwa nafasi hiyo itamfungulia milango mingine mingi.

Hamorapa aliwahi kuwa balozi wa kinywaji cha swala hapo awali ambapo mkataba wao uliisha.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.