Ninaamini Mchawi Mkubwa ni Mungu Pekee.;-Steve Nyerere

Msanii wa filamu nchini Steve Nyerere amefunguka na kusemakuwa wasichana wengi wamekuwa wakiamini kuwa kila unapotaka mafanikio basi njia rahisi ya kutusua ni kwenda kwa mganga kwa ajili ya kupata mafanikio wanayoyatafuta.

ninachoamini kuwa mchawi mkubwa ni Mungu pekee na kama utamwamini yeye basi unaweza kuushinda hata huo uchawi wenyewe,  na unaweza kuwasaidia wajinga wachache lakini mimi naamini kuwa ukimwamini Mungu utafanikiwa.

Mungu hana mwisho lakini uchawi una mwisho, na kama ukipiga magoti na ukamlilia basi unaweza kutusua kila kitu.

Steve anasema hayo alipokuwa akiongea na mtandao wa clouds na kusema kuwa kuna watu wengi wamekuwa wakitawaliwa na mambo ya ushirikiana kiasi kwamba hawawezi kufanya jambo lolote hata kama ni la kimaendeleo mpaka wamwambie kwanza mganga wao.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.