Nipo Tayari Kufunga Ndoa na Diamond- Lynn

Video vixen  maarufu kweNey muziki wa Bongo fleva aliyejizolea umaarufu Kupitia video ya Rayvanny, Irene Godfrey maarufu kama  Lynn amesema kuwa yupo tayari kuolewa na Diamond Platnumz na hata mpenzi wake  anajua hilo.

Lynn ambaye katika wiki chache Hizi amekamata sana headlines kutokana na tetesi za kuwa Kwenye Mahusiano na Diamond ameibuka na kudai Yupo Tayari kwa ndoa na Bongo Star huyo.

Kwenye mahojiano na Waandishi kwenye red carpet ya Biko Jibebe Challenge, Lynn amesema kama ikitokea  nafasi hiyo atakuwa tayari.

Yeah! kwa sababu ni mwanaume, siwezi kusema hapana”.

Lakini pia Lynn alionekana kujikanyaga pale alipobanwa sana na maswali ya Mahusiano na Diamond ikiwemo gari ambalo alilopewa kama zawadi siku ya birthday yake ambalo lilisemekana limetoka kwa Diamond.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.