Mwili wa Mtangazaji Isack Gamba Wawasili Nchini

Mwili wa aliywahi uwa mtangazaji wa ITV/Radio One nchini isac gamba ambae alifaniiwa kutoka tanzania na kuanza kufanya kazi Idhaa ya Kiswahili DW (Ujerumani) umewasili leo alfajiri  nchini kutoka nchini ujerumani ambapo ndipo mauti yalipomfika .

Mwili huo ambao baada ya kufika ulipelekwa Lugalo hospitali kwa ajili ya kuagwa na tayari kwa mazishi nyumbani kwao Bunda mkoani Mara.Baadhi ya waombelezaji waliofika katika msiba huo  ni kama wanavyoonekena :-

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.