Aunty Lulu Asherekea Mama Yake Kupata Mchumba

Msabii wa Bongo movie Lulu Semagongo maarufu Kama Aunty Lulu amefunguka na kutangaza furaha yake Baada ya mama yake mzazi kupata mchumba na hatimaye kuchumbiwa.

Aunty Lulu amesherehekeamama yake mzazi kupata mchumba ambaye alimvalisha pete mwishoni mwa wiki iliyopita katika kanisani moja lililopo maeneo ya Kinondoni jijini Dar.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Amani, Aunty Lulu alisema kuwa amefurahi sana mama yake kumpata mwenza kwani baada ya baba yake kufariki dunia, alikaa muda mrefu akiwa mpweke.

Unajua nina furaha kupita kiasi mama yangu kupata mwenza imenipa faraja, ninamuombea maisha mema ya ndoa kwani ni jambo ambalo limetufurahisha sisi kama familia”.

Aunty Lulu ameweka wazi kuwa mama yake hakuwa kwenye mahusiano na baba yake kwa miaka mingi hivyo vyema mama yake kuuaga upweke na kupata furaha.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.