Casto Dickson Amkumbuka Mtoto Wake.

Mtangazaji wa clouds media Casto Dickson ameonyesha kumkumbuka aliyedaiwa kuwa ni mtoto wake ambae alizaa na msanii muna love kipindi wakiwa wapenzi .

Mtoto huyo aliyewahi kujizolea umaarufu wake akiwa bado mdogo kutokana na maajabu makubwa aliyokuwa akiyafanya baada ya kuokoka alifariki Dunia mapema mwaka huu na kuacha mashabiki wake na wa mama yake katika masikitiko makubwa lakini kubwa zaidi ni ile pande mbili kugombania maiti hiyo.

Hata hivyo cCasto aliandika katika ukurasa wake kuwa amekuwa akimmisi mtoto wake huyo ambapo kipindi cha msba alijitokeza baba mwingine na kudai kuwa mtoto huyo alikuwa wake.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.