Irene Uwoya Ampongeza Dogo Janja

Mwanadada Irene Uwoya amefunguka na kutoa pongezi nyingi sana kwa aliewahi kuwa mume wake wa ndoa msanii Dogo Janja kwa kitendo anachoendelea kukifanya kwa sasa cha kuwa akitoa pesa kwa ajili ya kutatua mataizo mbalimbali katika jamii huku akinza na lile kubwa la kumjengea mama yake nyumba lakini na kurudi katika shule anayosoma na kufanya ukarabati,

Irene anasema kuwa hilo ni jambo jema sana ambalo Dogo Janja amemaua kulichukua kwa sababu jamii inatka asana msaada wake katika kipindi cha shida.

Irene anasema kuwa dogo janja kufanya hivyo anakuwa akirudisha fadhila kwa mashabiki waliomfikisha pale alipo lakini pia anamuomba hasiache kufanya hivyo kila mara na kujisahau tena.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.