Natafuta Mwanaume Ambaye Atakuwa Baba Kwa Watoto Wangu-Zari

Mfanyabiashara maarufu Zarinah Hassan ‘Zari The Bosslady’ na mzazi mwenzake na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz amefunguka na kuweka wazi tangu ameachana na Diamond amekuwa akitafuta mwanaume ambaye atakuwa kama baba kwa Watoto Wake.

Baada ya mahusiano ya takribani miaka minne Zari alimtosa Baba Watoto Wake Diamond mapema mwaka huu katika siku ya wapendanao tena kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Sasa Zari ameweka wazi kuwa tangu aachane na Diamond  ameshakuwa na mahusiano na wanaume kadhaa lakini hivi sasa anataka mwanaume ambaye atakuwa mfano bora wa baba kwa  watoto wake wa kiume na mwanaume ambaye binti yake wa kipekee atatamani kuwa mfano wa mwanaume wa kuolewa naye.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Zari ameandika maneno haya:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.