“Diamond Ruksa Amuoe Tanasha”- Lynn

Video vixen na msanii wa muziki wa Bongo fleva Irene Godfrey Louis amefunguka na kumpa baraka zote aliyekuwa mpenzi wake Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz  kumuoa Mpenzi wake mpya Tanasha Donna Oketh.

Kwenye mahojiano aliyofanya na  Global PublishersLynn ambaye aliwahi kutajwa kuwa mbioni kuolewa na Diamond alisema anawashangaa wanaosema anaumia juu ya kitendo cha Diamond kutangaza kumuoa Tanasha, jambo ambalo si kweli.

Sina kinyongo, Diamond amuoe Tanasha hata kesho maana ni jambo la heri. Ninafurahi sana kwa sababu Diamond ni mshkaji wangu sana na si vinginevyo”.

Diamond aliweka wazi mahusiano yake na mrembo Tanasha kutoka Kenya na kutangaza ndoa yao mara moja hali iliyopelekea taarifa kusambaa kuwa Lynn amemwaga na msanii huyo aliyekuwa kwenye mahusiano naye.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.