Hatugusani Mpaka Ndoa :-Mc pilipili

Wikiedn iliyopita , mchekeshaji mc pilipili amemvisha pete ya uchumba , mchumba wake wa siku nyingi tayari kwa ajili ya ndoa , lakini kutokana na sherai na taratibu za dini, mchekeshaji huyo anasema kuwa hawako tayari kufanya mapenzi maka pale watakapofunga ndoa .

Mc pilipili aliweka wazi kuwa alitoa mahali ya binti huyo kiasi cha shilingi milioni 8,  na wala haoni shida kusubiri mpaka atakapofunga ndoa na binti huyo ambae ni chaguo lake.

ni kweli nimeokoka na ndioa maana kwenye sherehe ya mahaki hakukuwa na vinywaji vikali, hatyuishi pamoja na mpenzi wangu ila anaweza kuja nyumbani kupika, hatutagusana na mpenzi wangu mpaka tutakapofunga ndoa.

Mc ilipili anasema kuwa waliweza kukubaliana na mshenga kiasi cha shilingi milioni 8 lakini waliweza kuongea na kulipa milion 5 , mpaka sasa anadaiwa milioni 3.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.