Mch.Mashimo Amcharukia Mama Amber Ruty

Mama wa msanii Amber rutty aliwahi kusema katika mitandao ya kijamii kuhusu swala la mchungaji mashimo kumtolea dhamana mwanadada Amber Ruty na kusema kuwa yeye ndio aliyekuwa mdhamini wa mwanae na wala sio mtu mwingine kama ambayo inasemwa katika mitandao ya kijamii.

Lakini mchungaji mashimo amefunguka na kuonyesha kukerwa na tabia hiyo na kusema kuwa yeye ndio aliyehusika na dhamana ya msanii huyo huku wakati mwingine hata akituma pesa ya matumizi kwa ajili ya  walengwa hao ingawa anahisi kabisa kuwa pesa hizo hazikuwa zikiwafikia walengwa.

Mchungaji huyo aliwahi kusema kuwa kufabya kwake hivyo hakumaanishi kuwafungwa sanii hao kuchana na imani yao lakini yeye alifanya kwa sababu alikuwa akiongozwa na mungu kufanya hivyo.

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.