“Nilikutana na Diamond Club Miaka Miwili Iliyopita”- Tanasha

Mtangazaji na video vixen maarufu kutoka nchini Kenya Tanasha Donna Oketh ambaye pia ni Mpenzi wa  staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz amefunguka na kuweka wazi Jinsi walivyokutana.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tanasha aliwapa mashabiki zake uhuru wa kumuuliza maswali ambapo alifunguka kwa Kuwapa majibu.

Tanasha aliulizwa ni Jinsi gani alikutana na Mpenzi Wake Diamond na aliweka wazi kuwa walikutana miaka miwili iliyopita walipokuwa Club Lakini hawakuwahi kuongea Mpaka mwaka jana mwishoni.

Nilikutana naye miaka miwili iliyopita klabu Lakini hatukuwahi kuongea mpaka mwaka jana mwishoni”.

Lakini pia Tanasha alianika mapenzi yake kwa Diamond na kusema wazi wazi kuwa anampenda sana Diamond na pia kusema ana sifa zote za mwanaume ambaye angependa kuwa naye yaani ni muaminifu, mchapakazi, ana Upendo na sifa nyingine kedekede.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.