Ambe Rutty na Mumewe Wafunga Mtaa.

Mwanadada amber rutty amefunga mtaa huku jijini baada ya kutokea mitaa flani na kukutana na mtu ambae wamekuwa wakimtuhumu kila leo kuwa ndio aliuyewaharibia sana katika mitandao ya kijamii baada ya kuvijisha picha na video wakiwa faragha na mume wake.

Ambae Rutty na mume wake walipokutana na mwanaume huyo walikamata na kuanza kumpga huku baadhi ya watu wakiwa wanaangalia bila kutaka kuingilia ugomvi huo.

Ikumbukwe kuwa wawili hao bado wako na kesi mahakamani inayohusu kuvujisha kwa video ambayo iliwafanya kukaa rumande kwa muda mrefu kidogo na hata kesi hiyo kwenda mahakamani  mpaka sasa ambapo mara ya mwisho ilishindwa kusomwa kwa sababu mwanaume wa Amber Rutty alidondoka.

Hata hivyo wawili hao wanaweza kupatwa na kesi nyingine ya kuchukua sheria mkononi.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.