Mh Makamba Atambua Mchango wa Diamond katika uchaguzi 2015

Mh January Makamba amefunguka na  kusema kuwa auli mbiu ya kipindi ch CCM ya hapa kazi tu waliipata utoka kwa Diamond baada ya uwaambia kuwa ile sera yao ya kwanza ya hapa ni azi tu kuona kuwa haileti mantika kama hiyo.

January Makamba amefunguka hayo  alipokuwa katia mahojiano na clouds media na kusema kuwa moja ya mambo anayoubuka katika uchaguzi wa mwaka 2015 katika michango walioipata kutoka kwa wasanii ni swala la iyo kauli mbiu ya chama .

Mh makamba anasema “Msanii Diamond platinumz alitusaidia kupata kauli mbiu ya buchaguzi wa CCM mwaka 2015 kutoka hapa ni kazi tu na wenda kwenye hapa kazi tu , “

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.