Makonda Amtembelea Pascal Cassian

Mh paul makonda amepata fursa ya kwenda kumuangalia msanii pascal cassian ambae aliamishwa kutoka hospitali ya muhimbili na kupelekwa mloganzila ambapo alipatiwa vipimo na kuanza matibabu mara  moja.

Mh paul Makonda alijitolea kumpatia matibabu msanii huyo hasa baada ya msanii huyo nafamilia yake kuomba msaada kwa watu mbalimbali kuwapatia pesa kwa ajili ya matibabu.

Hata hivyo Mh paul Makonda anasema kuwa madaktari wametoa matumaini ya kupona kwake na kusema kuwa kila kitu kinawezekana hasa baada ya kupata vipimo vyae vyote vya ugonjwa anaoumwa.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.