Ruge Mutahaba Afariki Dunia

Mkurugenzi wa vipindi clouds tv na clouds radio Bwana Ruge mutahaba aliekuwa akipigania maisha yake huko nchini Afrika ya Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu afariki Dunia jioni ya February 26.

Ruge ambae alikuwa akipigania sana maisha yake na hata kulikuwa kunaendelea kwa kampeni za kupata pesa kwa ajili ya matibabu yake , ameshindwa kuendelea kupigania maisha yake baada ya hali yake kuzidi kuwa mbaya .

Habari kamili kutoka kwa wanafamilia na watu wake zitatolewa hivi punde.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.